Msani wetu wa kizazi kipya ambae anajulikana kwa jina la jukwaani Mr.Aquela mtoto wa Dolla Amjikuta akiwa seem mbaya kabisa na kipenzi chake baada ya kushow ilionekana wamepanda mabinti wawili kumfupa lakini kibaya zaidi ambacho kinamshangaza mpenzi wake ni kupeana mabusu/kiss.
Alifunguka binti huyo na kusema yafuatayo.
1. →♡Mpenzi kwanini umeamua kunifanyia unyama huuu ?
2.→♡Nataka kujuwa kwamba yule ni dadaako au ?
3.♡→usipo nieleza basi naamuwa kuondoka sababu ya yule mschana wako hawezi kunivuluga kichwa.
Mr.Aquela Hajikuta Yupo pabaya.
terça-feira, maio 19
0 comentários